Waliiba dhahabu… lakini sasa, wao wenyewe wamekuwa hazina inayowindwa. Wanawake watatu, ujasiri mmoja, usaliti usiotarajiwa. Dar es Salaam inawaka moto nani ataishi, nani atalipa deni lake? Majibu yote ndani ya #NipoBongoseries kuanzia NOVEMBA ndani ya @Bongolix pekee!
Maturity Level : 18_plus